Lady Jaydee ametangaza jina jipya la sehemu ambayo Machozi Band ilikuwa ikitumbuiza na kufahamika kama Nyumbani Lounge.
Kupitia Instagram Jide ameshare poster ya uzinduzi wa ‘M.O.G Bar & Restaurant’ ambayo zamani ilikuwa ikifahamika kama ‘Nyumbani Lounge’.
“Narudi kazini rasmi Baada ya miezi 4 ya uvivu. Karibuni tar 31 October M.O.G 82 Ada Estate, Tranic Plaza Pale pale” ameandika Jide.
No comments
Post a Comment