Shindano hilo litafanyika kwenye nchi 13 ambazo ni Kenya, Tanzania, Uganda Zambia, Madagascar, Malawi, Nigeria, Ghana, Burkina Faso, Chad, Congo Brazzaville, The Democratic Republic of Congo (DRC) na Gabon.
Zawadi kwa mshindi wa shindano hilo ni mkataba wa kurekodi na label ya Akon, Kon Live, mkataba wa usambazaji kupitia Universal Music Group, na mafunzo ya muziki chini ya Akon yatakayofanyika Marekani.
Shindano hilo la miezi sita litaanza mapema October 2014.
No comments
Post a Comment