Kim Kardashian akisongwa na umati mkubwa wa watu.
Licha ya kuwashangaza watu wengi kwa nguo zao walizovaa wakati wa Paris Fashion Week, sasa itakuwa ngumu zaidi kuwasogelea au kuwagusa Kanye na mke wake Kim.Kim Kardashian, 33, na Kanye West, 37, wanadaiwa kuwa na wasiwasi mkubwa baada ya kushambuliwa wakiwa red carpet na mwandishi wa habari wa zamani, Vitalii Sediuk kiasi cha kutaka kumwangusha chini Kim.
Wakati mrembo huyo alipokuwa akitoka kwenye gari kwenda kumshuhudia mdogo Kendall Jenner, 18, akishiriki kwenye show hiyo, Vitalii anadaiwa kumvuta nywele Kim huku Kanye na mama yake wakishuhudia.
No comments
Post a Comment