Facebook na Apple kuwalipa wafanyakazi wake wa kike kugandisha mayai ya uzazi ili...

1413330571612_wps_58_This_picture_taken_with_a
Makampuni ya Facebook na Apple yanawapa nafasi wafanyakazi wake wa kike kuweka pembeni ndoto zao za kuwa mama kwa kuwalipa wagandishe mayai yao.
Hatua hiyo isiyo ya kawaida ina lengo la kuongeza idadi ya wafanyakazi wa kike kwa kuwaruhusu kujikita zaidi na masuala ya kazi bila kupoteza ndoto zao kwa kuwa na watoto baadaye katika maisha yao.
1413330801165_wps_60_Human_egg_tanks_at_the_As
Bank: Mayai yatakuwa yakiweka kwenye freezer maalum ili wanawake waendelee na kazi zao
Makampuni hayo ya Silicon Valley ni ya kwanza kutoa ofa hiyo bila sababu za kitabibu na yako tayari £12,500 kwa kila mmoja kugharamia mchakato huo.
Kwa mujibu a NBC News, Facebook imeshaanza kulipia mchakato huo na Apple wataanza January.
TAG