Wimbo wenye ujumbe muhimu kwa waliokataa tamaa kutoka kwa mhadhili msaidizi wa chuo kikuu cha Saint Augustine cha Mwanza, Wynjones Kinye ‘Asubuhi Itafika’ umewagusa watu wengi na tena wengine huwezi kuwategemea. Mmoja wa watu waliokoshwa na wimbo huo ni msanii mkongwe wa Uganda, Maurice Kirya.
Huu ni ujumbe wa watu wengine walioguswa na wimbo huo.
No comments
Post a Comment